forked from WA-Catalog/sw_tn
584 B
584 B
Lakini
Paulo anatumia neno hili kutofautisha kati ya wakristo wavivu na wachapakazi.
ninyi, ndugu
Neno "niny" linamaanisha wakristo wote wa Thesalonike.
ndugu
Neno "ndugu" hapa linamaanisha wakristo wenzangu, inajumuisha wanaume na wanawake. AT: "ndugu wa kiume na wakike"
msizimie roho
"Kuzimia moyo" ni neno linalomaanisha kuchoka, au kukata tama." "msikate tamaa au "msichoke"
muwe makini naye
Mmtambue kuwa ni nani.AT: "mmtambue mbele za watu"
ili kwamba aweze kuaibika
Paulo anawaelekeza waumini kujihadhari nawaumini wavivu kama kitendo cha kuwaadibisha.