sw_tn/2th/03/13.md

584 B

Lakini

Paulo anatumia neno hili kutofautisha kati ya wakristo wavivu na wachapakazi.

ninyi, ndugu

Neno "niny" linamaanisha wakristo wote wa Thesalonike.

ndugu

Neno "ndugu" hapa linamaanisha wakristo wenzangu, inajumuisha wanaume na wanawake. AT: "ndugu wa kiume na wakike"

msizimie roho

"Kuzimia moyo" ni neno linalomaanisha kuchoka, au kukata tama." "msikate tamaa au "msichoke"

muwe makini naye

Mmtambue kuwa ni nani.AT: "mmtambue mbele za watu"

ili kwamba aweze kuaibika

Paulo anawaelekeza waumini kujihadhari nawaumini wavivu kama kitendo cha kuwaadibisha.