forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
531 B
Markdown
16 lines
531 B
Markdown
# Tunao ujasiri
|
|
|
|
' Tunayo imani" au "tunaamini"
|
|
|
|
# kuongoza mioyo yenu
|
|
|
|
Paulo anamwelezea Bwana kuwahamasishaWakristo wampende Mungu kana kwamba Bwana alikuwa akiwaongoza katika njia
|
|
|
|
# mioyo
|
|
|
|
Hii ni sitiari kwa ajili ya hisia au takwa, ambayo inaongoza upendo na uaminifu.
|
|
|
|
# kwa upendo wa Mungu na kwa uvumilivu wa Kristo
|
|
|
|
paulo anaongea upendo wa Mungu na uvumilivu wa Mungu na Kristo kana kwamba kulikuwa na mwisho katika njia. AT:Ni namna gani gani Mungu anawapenda na jinsi gani ambayo Kristo alivyovumilia kwa ajili yetu.
|