sw_tn/2th/03/04.md

531 B

Tunao ujasiri

' Tunayo imani" au "tunaamini"

kuongoza mioyo yenu

Paulo anamwelezea Bwana kuwahamasishaWakristo wampende Mungu kana kwamba Bwana alikuwa akiwaongoza katika njia

mioyo

Hii ni sitiari kwa ajili ya hisia au takwa, ambayo inaongoza upendo na uaminifu.

kwa upendo wa Mungu na kwa uvumilivu wa Kristo

paulo anaongea upendo wa Mungu na uvumilivu wa Mungu na Kristo kana kwamba kulikuwa na mwisho katika njia. AT:Ni namna gani gani Mungu anawapenda na jinsi gani ambayo Kristo alivyovumilia kwa ajili yetu.