forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
569 B
Markdown
24 lines
569 B
Markdown
# Ikawa baada ya haya
|
|
|
|
Kifungu kinaonesha mwanzo wa sehemu inayofuata
|
|
|
|
# Gobu
|
|
|
|
Hili ni jina la mji.
|
|
|
|
# Sibekai... Safu... Elhanani mwana wa Jari... Goliathi
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
|
|
|
# Muhushathi... Mrefai... Mbethlehemu... Mgiti
|
|
|
|
Haya ni majina ya wakundi ya watu.
|
|
|
|
# Mrefai
|
|
|
|
Kundi hili la watu walijulikana kwa ushujaa wao mkubwa.
|
|
|
|
# ambaye mkuki wake ulikuwa kama mti wa mfumaji
|
|
|
|
Mtu alipokuwa anafuma nguo alipitisha nyuzi katika ndoano zilizounganishwa katika mti ulioitwa "mti wa mfumaji." Hii inamaana kwamba mkuki wa Goliathi ulikuwa siyo mkuki wa kawaida.
|