sw_tn/2sa/21/18.md

569 B

Ikawa baada ya haya

Kifungu kinaonesha mwanzo wa sehemu inayofuata

Gobu

Hili ni jina la mji.

Sibekai... Safu... Elhanani mwana wa Jari... Goliathi

Haya ni majina ya wanaume.

Muhushathi... Mrefai... Mbethlehemu... Mgiti

Haya ni majina ya wakundi ya watu.

Mrefai

Kundi hili la watu walijulikana kwa ushujaa wao mkubwa.

ambaye mkuki wake ulikuwa kama mti wa mfumaji

Mtu alipokuwa anafuma nguo alipitisha nyuzi katika ndoano zilizounganishwa katika mti ulioitwa "mti wa mfumaji." Hii inamaana kwamba mkuki wa Goliathi ulikuwa siyo mkuki wa kawaida.