sw_tn/2sa/19/24.md

344 B

Mefiboshethi

Hili ni jina la mwanaume

Hakuwa ameivalisha miguu yake

"Hakuwa ameitunza miguu yake." Miguu ya Mefiboshethi ilikuwa na ulemavu. Kifungu kinaonesha hakuwa ameitunza miguu yake vizuri.

Kwa nini haukwenda nami, Mefiboshethi?

Daudi anazungumzia kwa nini hakwenda naye pale yeye na watu waliomfuata walipoondoka Yerusalme.