forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
344 B
Markdown
12 lines
344 B
Markdown
|
# Mefiboshethi
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanaume
|
||
|
|
||
|
# Hakuwa ameivalisha miguu yake
|
||
|
|
||
|
"Hakuwa ameitunza miguu yake." Miguu ya Mefiboshethi ilikuwa na ulemavu. Kifungu kinaonesha hakuwa ameitunza miguu yake vizuri.
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini haukwenda nami, Mefiboshethi?
|
||
|
|
||
|
Daudi anazungumzia kwa nini hakwenda naye pale yeye na watu waliomfuata walipoondoka Yerusalme.
|