forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
338 B
Markdown
12 lines
338 B
Markdown
# kama watu waonao haya baada ya kukimbia vitani
|
|
|
|
Mwandishi analinganisha jinsi askari alivyokuwa akiingia mji kama ambavyo askari wanavyokwenda baada ya kukimbia vita. Hii inamaanisha kwamba walijisikia kuaibika.
|
|
|
|
# Nyemelea
|
|
|
|
Kwenda bila kutakawengine wakuone
|
|
|
|
# Mfalme alifunika uso wake
|
|
|
|
Hii ni njia ya kuonesha huzuni na maombolezo.
|