forked from WA-Catalog/sw_tn
338 B
338 B
kama watu waonao haya baada ya kukimbia vitani
Mwandishi analinganisha jinsi askari alivyokuwa akiingia mji kama ambavyo askari wanavyokwenda baada ya kukimbia vita. Hii inamaanisha kwamba walijisikia kuaibika.
Nyemelea
Kwenda bila kutakawengine wakuone
Mfalme alifunika uso wake
Hii ni njia ya kuonesha huzuni na maombolezo.