sw_tn/2sa/19/03.md

338 B

kama watu waonao haya baada ya kukimbia vitani

Mwandishi analinganisha jinsi askari alivyokuwa akiingia mji kama ambavyo askari wanavyokwenda baada ya kukimbia vita. Hii inamaanisha kwamba walijisikia kuaibika.

Nyemelea

Kwenda bila kutakawengine wakuone

Mfalme alifunika uso wake

Hii ni njia ya kuonesha huzuni na maombolezo.