sw_tn/2sa/17/08.md

880 B

Wako kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake

Hasira ya askari hapa inalinganiswa na dubu jike aliyenyang'anywa watoto wake.

dubu

mnyama mkubwa na mkali anayetembea kwa miguu minne na ana makucha na meno makali

Mtu wa vita

Hii inamaanisha amepigana vita nyingi na anajua kwa kina njia ya vita.

Tazama

Neno hili limetumika kuvuta makini ya mtu kwa kile kinachofuata

shimo

tundu refu katika ardhi

au katika sehemu ningine

Hili ni eneo lingine analoweza kuwa amejificha.

baadhi ya watu wako watakapokuwa wameuawa

Inamaanisha watu wa Daudi watakapokuwa wamewauwa baadhi ya watu wa Absalomu

mauaji yamefanyika kwa askari wanaomfuata Absalomu

Nomino "machinjo" inamaanisha tukio ambapo watu wengi wameuawa kwa ukatili.

ambao mioyo yao ni kama mioyo ya simba

Hapa askari wanatajwa kwa "mioyo" yao. Pia, ujasiri wao mkuu unalinganishwa na ule wa simba.