forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
880 B
Markdown
36 lines
880 B
Markdown
|
# Wako kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake
|
||
|
|
||
|
Hasira ya askari hapa inalinganiswa na dubu jike aliyenyang'anywa watoto wake.
|
||
|
|
||
|
# dubu
|
||
|
|
||
|
mnyama mkubwa na mkali anayetembea kwa miguu minne na ana makucha na meno makali
|
||
|
|
||
|
# Mtu wa vita
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha amepigana vita nyingi na anajua kwa kina njia ya vita.
|
||
|
|
||
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Neno hili limetumika kuvuta makini ya mtu kwa kile kinachofuata
|
||
|
|
||
|
# shimo
|
||
|
|
||
|
tundu refu katika ardhi
|
||
|
|
||
|
# au katika sehemu ningine
|
||
|
|
||
|
Hili ni eneo lingine analoweza kuwa amejificha.
|
||
|
|
||
|
# baadhi ya watu wako watakapokuwa wameuawa
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha watu wa Daudi watakapokuwa wamewauwa baadhi ya watu wa Absalomu
|
||
|
|
||
|
# mauaji yamefanyika kwa askari wanaomfuata Absalomu
|
||
|
|
||
|
Nomino "machinjo" inamaanisha tukio ambapo watu wengi wameuawa kwa ukatili.
|
||
|
|
||
|
# ambao mioyo yao ni kama mioyo ya simba
|
||
|
|
||
|
Hapa askari wanatajwa kwa "mioyo" yao. Pia, ujasiri wao mkuu unalinganishwa na ule wa simba.
|