forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
483 B
Markdown
24 lines
483 B
Markdown
# Itai
|
|
|
|
Hili ni jina la mwanamme.
|
|
|
|
# Mgiti
|
|
|
|
Hii ni aina ya kabila fulani
|
|
|
|
# Kwa nini ulikwenda nasi pia?
|
|
|
|
Swali hili linaonesha kwamba mfalme hakuwa amewaomba kwenda naye.
|
|
|
|
# Kwa nini mimi niwafanye mtangetange pamoja nasi?
|
|
|
|
Swali hili linasisitiza kwamba Daudi hakutaka Itai aende.
|
|
|
|
# Kwa vile uliondoka jana tu
|
|
|
|
Kutia chumvi huku kunatumika kusisitiza. Itai Mgiti alikuwa amekaa pale kwa miaka kazaa.
|
|
|
|
# Utiifu na uaminifu na uambatane nanyi.
|
|
|
|
Hii ni baraka ambayo Daudi anampa.
|