sw_tn/2sa/15/19.md

483 B

Itai

Hili ni jina la mwanamme.

Mgiti

Hii ni aina ya kabila fulani

Kwa nini ulikwenda nasi pia?

Swali hili linaonesha kwamba mfalme hakuwa amewaomba kwenda naye.

Kwa nini mimi niwafanye mtangetange pamoja nasi?

Swali hili linasisitiza kwamba Daudi hakutaka Itai aende.

Kwa vile uliondoka jana tu

Kutia chumvi huku kunatumika kusisitiza. Itai Mgiti alikuwa amekaa pale kwa miaka kazaa.

Utiifu na uaminifu na uambatane nanyi.

Hii ni baraka ambayo Daudi anampa.