sw_tn/2sa/15/13.md

543 B

Mioyo ya watu wa Israeli inaambatana

Hapa watu wanarejerewa kwa "mioyo" kusisitiza utiifu wao kwa Absalomu.

kujiepusha na Absalomu... kwa haraka... na ataleta

Hapa Daudi anaongelea Absalomu na watu aliokuwa nao kama "Absalomu" yeye mwenyewe kwa sababu watu walikuwa wanafuata mamlaka ya Absalomu.

kuushambulia mji kwa ukali wa upanga

"Mji" unatajwa kuonesha watu wa mji. "Ncha ya upanga" inarejerea kwa panga za waisraeli kusisitiza kwamba waliwaua watu vitani.

kusababisha madhara

Hii inamaanisha kusababisha madhara kutokea.