forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
543 B
Markdown
16 lines
543 B
Markdown
|
# Mioyo ya watu wa Israeli inaambatana
|
||
|
|
||
|
Hapa watu wanarejerewa kwa "mioyo" kusisitiza utiifu wao kwa Absalomu.
|
||
|
|
||
|
# kujiepusha na Absalomu... kwa haraka... na ataleta
|
||
|
|
||
|
Hapa Daudi anaongelea Absalomu na watu aliokuwa nao kama "Absalomu" yeye mwenyewe kwa sababu watu walikuwa wanafuata mamlaka ya Absalomu.
|
||
|
|
||
|
# kuushambulia mji kwa ukali wa upanga
|
||
|
|
||
|
"Mji" unatajwa kuonesha watu wa mji. "Ncha ya upanga" inarejerea kwa panga za waisraeli kusisitiza kwamba waliwaua watu vitani.
|
||
|
|
||
|
# kusababisha madhara
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kusababisha madhara kutokea.
|