forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
719 B
Markdown
24 lines
719 B
Markdown
# Basi
|
|
|
|
"Basi" inaonesha badiliko katika habari kuu. Hapa Samweli anatoa sehemu nyingine ya habari.
|
|
|
|
# Hakukuwa na mtu katika Israeli aliyesifiwa kwa uzuri kama Absalomu
|
|
|
|
Watu walimsifu Absalomu kwa uzuri wake wa sura kuliko walivyomsifu mwingine yeyote.
|
|
|
|
# Kutoka katika wayo wa mguu wake hadi katika utosi wake hakuwa na waa lolote
|
|
|
|
Hii inamaanisha kwamba hakuwa na kasoro.
|
|
|
|
# shekeli mia mbili
|
|
|
|
Katika vipimo vya sasa ni sawa na "kilo mbili na nusu"
|
|
|
|
# Kwa kiwango cha kipimo cha mfalme
|
|
|
|
Mfalme alikuwa na kipimo kilichoamua kiwango cha uzito wa shekeli, uzito mwingine na vipimo vingine.
|
|
|
|
# Walizaliwa kwa Absalomu wana watatu na binti mmoja
|
|
|
|
Inamaanisha Absalomu alikuwa na watoto watatu wa kiume na binti mmoja.
|