sw_tn/2sa/14/25.md

719 B

Basi

"Basi" inaonesha badiliko katika habari kuu. Hapa Samweli anatoa sehemu nyingine ya habari.

Hakukuwa na mtu katika Israeli aliyesifiwa kwa uzuri kama Absalomu

Watu walimsifu Absalomu kwa uzuri wake wa sura kuliko walivyomsifu mwingine yeyote.

Kutoka katika wayo wa mguu wake hadi katika utosi wake hakuwa na waa lolote

Hii inamaanisha kwamba hakuwa na kasoro.

shekeli mia mbili

Katika vipimo vya sasa ni sawa na "kilo mbili na nusu"

Kwa kiwango cha kipimo cha mfalme

Mfalme alikuwa na kipimo kilichoamua kiwango cha uzito wa shekeli, uzito mwingine na vipimo vingine.

Walizaliwa kwa Absalomu wana watatu na binti mmoja

Inamaanisha Absalomu alikuwa na watoto watatu wa kiume na binti mmoja.