sw_tn/2sa/14/08.md

524 B

Nitaagiza jambo utakalofanyiwa

Inamaanisha nitalishugulikia jambo hili

Tekoa

Ni jina la sehemu

Hatia iwe juu yangu na juu ya familia ya babangu

Hii inamaanisha kwamba ikiwa watu watasema kwamba mfalme amekosea kusaidia familia ya mwanamke yeye hatakuwa na hatia.

mfalme na kiti chake cha enzi

Hapa neno "kiti cha enzi" linarejerea yeyote angekuja kuwa mfalme mahala pa Daudi.

Hawana hatia

"Ni msafi." Hapa mwanamke anaongelea mfalme kuwa safi kwa kuisaidia familia yake ikiwa angekuwa ameisaidia tayari.