forked from WA-Catalog/sw_tn
524 B
524 B
Nitaagiza jambo utakalofanyiwa
Inamaanisha nitalishugulikia jambo hili
Tekoa
Ni jina la sehemu
Hatia iwe juu yangu na juu ya familia ya babangu
Hii inamaanisha kwamba ikiwa watu watasema kwamba mfalme amekosea kusaidia familia ya mwanamke yeye hatakuwa na hatia.
mfalme na kiti chake cha enzi
Hapa neno "kiti cha enzi" linarejerea yeyote angekuja kuwa mfalme mahala pa Daudi.
Hawana hatia
"Ni msafi." Hapa mwanamke anaongelea mfalme kuwa safi kwa kuisaidia familia yake ikiwa angekuwa ameisaidia tayari.