forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
524 B
Markdown
20 lines
524 B
Markdown
|
# Nitaagiza jambo utakalofanyiwa
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha nitalishugulikia jambo hili
|
||
|
|
||
|
# Tekoa
|
||
|
|
||
|
Ni jina la sehemu
|
||
|
|
||
|
# Hatia iwe juu yangu na juu ya familia ya babangu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba ikiwa watu watasema kwamba mfalme amekosea kusaidia familia ya mwanamke yeye hatakuwa na hatia.
|
||
|
|
||
|
# mfalme na kiti chake cha enzi
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "kiti cha enzi" linarejerea yeyote angekuja kuwa mfalme mahala pa Daudi.
|
||
|
|
||
|
# Hawana hatia
|
||
|
|
||
|
"Ni msafi." Hapa mwanamke anaongelea mfalme kuwa safi kwa kuisaidia familia yake ikiwa angekuwa ameisaidia tayari.
|