forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
369 B
Markdown
12 lines
369 B
Markdown
# Kuhusuru mji
|
|
|
|
Neno "kuhusuru" linaweza kuelezwa kwa kitendo "kuzingira" na "kushambulia". Yaani "jeshi lake lilizunguka na kuushambulia mki"
|
|
|
|
# baadi ya askari wa Daudi walianguka
|
|
|
|
Neno "anguka" ni usemi laini wa kuonesha askari waliouawa. Yaani "baadhi ya askari wa Daudi waliuawa.
|
|
|
|
# Na Uria Mhiti aliuawa pale
|
|
|
|
Inamaanisha "Uria Mhiti naye alikuwa miongoni mwao.
|