sw_tn/2sa/11/16.md

369 B

Kuhusuru mji

Neno "kuhusuru" linaweza kuelezwa kwa kitendo "kuzingira" na "kushambulia". Yaani "jeshi lake lilizunguka na kuushambulia mki"

baadi ya askari wa Daudi walianguka

Neno "anguka" ni usemi laini wa kuonesha askari waliouawa. Yaani "baadhi ya askari wa Daudi waliuawa.

Na Uria Mhiti aliuawa pale

Inamaanisha "Uria Mhiti naye alikuwa miongoni mwao.