forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
464 B
Markdown
16 lines
464 B
Markdown
# Hezi
|
|
|
|
Kipindi cha mwanamke cha mwezi
|
|
|
|
# na kumchukua
|
|
|
|
"na kumchukua." Daudi alimchukua mwanamke, lakini alikuwa mjumbe aliyekuwa ametumwa aliyemchukuwa na kumleta kwa Daudi.
|
|
|
|
# Akaja kwake ndani, naye akalala naye
|
|
|
|
Kifungu "alikuja kwake ndani" inaonesha hali ya Daudi kufanya tendo la ndoa na mwanamke.
|
|
|
|
# Alituma na kumwambia Daudi; akasema, "Niko mjamzito"
|
|
|
|
Hapa neno "alipeleka" linamaanisha kwamba alipeleka mjumbe kumwambia Daudi kwamba alikuwa mjamzito.
|