sw_tn/2sa/11/04.md

464 B

Hezi

Kipindi cha mwanamke cha mwezi

na kumchukua

"na kumchukua." Daudi alimchukua mwanamke, lakini alikuwa mjumbe aliyekuwa ametumwa aliyemchukuwa na kumleta kwa Daudi.

Akaja kwake ndani, naye akalala naye

Kifungu "alikuja kwake ndani" inaonesha hali ya Daudi kufanya tendo la ndoa na mwanamke.

Alituma na kumwambia Daudi; akasema, "Niko mjamzito"

Hapa neno "alipeleka" linamaanisha kwamba alipeleka mjumbe kumwambia Daudi kwamba alikuwa mjamzito.