sw_tn/2sa/02/18.md

433 B

Seruya...Yoabu...Abishai...Asaheli...Abneri

Haya ni majina ya wanaume

Asaheli alikuwa mwepesi miguuni kama swala.

Hapa Asaheli analinganishwa na swala, mnyama akimbiaye kwa kasi sana.

swala pori

Mnyama huyu mdogo mwenye miguu minne, na pembe mbili ndefu kichwani, hukimbia haraka sana.

Akimfuatia bila kugeuka upande mwingine

Hapa "bila kugeuka" imeelezwa kwa muundo hasi kusistiza ukaribu alioifuata njia ya Abneri.