forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
433 B
Markdown
16 lines
433 B
Markdown
|
# Seruya...Yoabu...Abishai...Asaheli...Abneri
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume
|
||
|
|
||
|
# Asaheli alikuwa mwepesi miguuni kama swala.
|
||
|
|
||
|
Hapa Asaheli analinganishwa na swala, mnyama akimbiaye kwa kasi sana.
|
||
|
|
||
|
# swala pori
|
||
|
|
||
|
Mnyama huyu mdogo mwenye miguu minne, na pembe mbili ndefu kichwani, hukimbia haraka sana.
|
||
|
|
||
|
# Akimfuatia bila kugeuka upande mwingine
|
||
|
|
||
|
Hapa "bila kugeuka" imeelezwa kwa muundo hasi kusistiza ukaribu alioifuata njia ya Abneri.
|