sw_tn/2sa/01/08.md

592 B

Akaniuliza, 'Wewe ni nani?' Nikamjibu, 'Mimi ni Mwamaleki.'

Nukuu hii ingeweza kutaarifiwa kama kauli tendwa. Mfano "Aliniuliza mimi nilikuwa nani, nami nikamwambia kuwa nilikuwa Mwamaleki"

Mimi ni Mwamaleki

Hawa ni watu walewale Daudi aliokuwa ametoka kuwashambulia katika 1:1.

shida kubwa imenipata

Shida ya Sauli inasemwa kama kitu cha kutisha ambachokimemshikilia. Maana nyingine yaweza kuwa "nimeteswa vibaya sana"

uhai ungalimo ndani yangu

Nahau hii inamaanisha kwamba yu ngali hai au "ningali hai"

asingeweza kuishi baada ya kuwa ameanguka

"Hata hivyo angekufa tu"