forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
592 B
Markdown
20 lines
592 B
Markdown
|
# Akaniuliza, 'Wewe ni nani?' Nikamjibu, 'Mimi ni Mwamaleki.'
|
||
|
|
||
|
Nukuu hii ingeweza kutaarifiwa kama kauli tendwa. Mfano "Aliniuliza mimi nilikuwa nani, nami nikamwambia kuwa nilikuwa Mwamaleki"
|
||
|
|
||
|
# Mimi ni Mwamaleki
|
||
|
|
||
|
Hawa ni watu walewale Daudi aliokuwa ametoka kuwashambulia katika 1:1.
|
||
|
|
||
|
# shida kubwa imenipata
|
||
|
|
||
|
Shida ya Sauli inasemwa kama kitu cha kutisha ambachokimemshikilia. Maana nyingine yaweza kuwa "nimeteswa vibaya sana"
|
||
|
|
||
|
# uhai ungalimo ndani yangu
|
||
|
|
||
|
Nahau hii inamaanisha kwamba yu ngali hai au "ningali hai"
|
||
|
|
||
|
# asingeweza kuishi baada ya kuwa ameanguka
|
||
|
|
||
|
"Hata hivyo angekufa tu"
|