forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
970 B
Markdown
40 lines
970 B
Markdown
# Bidkari
|
|
|
|
Hili ni jina la mwanamume.
|
|
|
|
# Mchukue na mtupie
|
|
|
|
"Ichukue maiti yake na itupe"
|
|
|
|
# Fikiri kuhusu ambavyo
|
|
|
|
"Kumbuka"
|
|
|
|
# baada ya Ahabu baba yake
|
|
|
|
Hii inamaanisha kwamba waliendesha katika gari la farasi nyuma ya gari la farasi la Ahabu. "nyuma ya baba yake gari la farasi la Ahabu"
|
|
|
|
# Yahwe akamuweka huyu nabii dhidi yake
|
|
|
|
"Yahwe alinena huu unabii huu dhidi ya Ahabu"
|
|
|
|
# damu ya Nabothi na damu ya watot wake
|
|
|
|
Hapa neno "damu" linarejea kwa "kuua" "mauaji ya Nabothi na mauaji ya watoto wake"
|
|
|
|
# nitakulipa
|
|
|
|
Hii inamaanisha kwamba atamuadhibu Ahabu kama astahilivyo kwa ajili ya uovu alioufanya. "nitakupatia unachostahili kwa ajili ya uovu ulioufanya"
|
|
|
|
# mchukue na mtupie kwenye hiyo sehemu, hilo shamba
|
|
|
|
"ichukue maiti ya Yoramu na itupe kwenye shamba lile lile, shamba la Nabothi"
|
|
|
|
# kuleta kupita kile tulichokuwa tumeambiwa kingetokea
|
|
|
|
"kutimiza unabii ulionenwa kwetu"
|
|
|
|
# tuliambiwa itatokea kwa neno la Yahwe
|
|
|
|
"kile Yahwe alichosema kingetokea" (UDB)
|