# Bidkari Hili ni jina la mwanamume. # Mchukue na mtupie "Ichukue maiti yake na itupe" # Fikiri kuhusu ambavyo "Kumbuka" # baada ya Ahabu baba yake Hii inamaanisha kwamba waliendesha katika gari la farasi nyuma ya gari la farasi la Ahabu. "nyuma ya baba yake gari la farasi la Ahabu" # Yahwe akamuweka huyu nabii dhidi yake "Yahwe alinena huu unabii huu dhidi ya Ahabu" # damu ya Nabothi na damu ya watot wake Hapa neno "damu" linarejea kwa "kuua" "mauaji ya Nabothi na mauaji ya watoto wake" # nitakulipa Hii inamaanisha kwamba atamuadhibu Ahabu kama astahilivyo kwa ajili ya uovu alioufanya. "nitakupatia unachostahili kwa ajili ya uovu ulioufanya" # mchukue na mtupie kwenye hiyo sehemu, hilo shamba "ichukue maiti ya Yoramu na itupe kwenye shamba lile lile, shamba la Nabothi" # kuleta kupita kile tulichokuwa tumeambiwa kingetokea "kutimiza unabii ulionenwa kwetu" # tuliambiwa itatokea kwa neno la Yahwe "kile Yahwe alichosema kingetokea" (UDB)