forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
454 B
Markdown
12 lines
454 B
Markdown
# Sasa mnafikiri kwa hayo yote tunajitetea kwenu?
|
|
|
|
Paulo alifafanua kwamba hajitetei kwao kwa tabia yake. "Msifikiri kwamba kwa hayo wakati huu najitetea mwenyewe kwenu."
|
|
|
|
# Mbele za Mungu,
|
|
|
|
Paulo anazungumzia juu ya ufahamu wa Mungu kufahamu mambo yote Paulo anafahamu pia kama vile Mungu alikuwa pa kimwili na amechunguza kila kitu alichosema na kufanya Paulo.
|
|
|
|
# kwa ajili ya kuwaimarisha ninyi
|
|
|
|
"ya kwamba muweza kumjua Mungu na kumtii yeye vizuri"
|