forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
595 B
Markdown
12 lines
595 B
Markdown
# nipokeeni mimi kama mpumbavu ili niweze kujisifu kidog
|
|
|
|
"nipokee mii kama vile ungempokea mpumbavu:niache mimi nizungumze, na kufikiri kujivuna kwangu maneno ya mpumbavu"
|
|
|
|
# Kile ninachosema kuhusu huku kujiamini kwa kujivuna hakuhukumiwi na Bwana
|
|
|
|
Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa jinsi hii: " "Bwana hajifanyi kutoona ninacho kiongelea kuhusu ujasiri wa kujivuna" Bwana hajaniambia kuwa ana thibitisha kwa kile ninachokizungumza huu ujasiri wa kujisifu.
|
|
|
|
# kwa jinsi ya mwili
|
|
|
|
Katika sentensi hii mbadala wa neno "mwili" una maanisha mtu katika asili yake yha dhambi na maendeleo yake.
|