forked from WA-Catalog/sw_tn
675 B
675 B
Kama kweli ya Kristo ilivyo ndani yangu, huki
Paulo anasisitiza hiki kwa sababu wasomaji wake wanajua kuwa anawaambia kweli ya Kristo, wanaweza kujua kuwa mahali hapa anawaambia ukweli.
huku kujisifu kwangu hakutanyamazishwa
Sentensi hii yaweza kusemwa hivi: "hakuna hata mmoja atakayeweza kunizuia kujisifu na kukaa kimya. "Paulo "anajivuna" kuwa yuko "huru kuhubiri injili"
sehemu za Akaya
"mikoa ya Akaya" Neno "sehemu" linazungumzia maeneo ya nchi , na siyo mgawanyo wa kisiasa.
Kwa nini? Kwa sababu siwapendi?
Paulo anatumia swalimla kujihoji kusisitiza upendo kwa Wakorintho.
Mungu anafahamu
Kwa kuweka wazi sentensi hii: "Mungu anajua Ninawapenda"