forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
675 B
Markdown
20 lines
675 B
Markdown
|
# Kama kweli ya Kristo ilivyo ndani yangu, huki
|
||
|
|
||
|
Paulo anasisitiza hiki kwa sababu wasomaji wake wanajua kuwa anawaambia kweli ya Kristo, wanaweza kujua kuwa mahali hapa anawaambia ukweli.
|
||
|
|
||
|
# huku kujisifu kwangu hakutanyamazishwa
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii yaweza kusemwa hivi: "hakuna hata mmoja atakayeweza kunizuia kujisifu na kukaa kimya. "Paulo "anajivuna" kuwa yuko "huru kuhubiri injili"
|
||
|
|
||
|
# sehemu za Akaya
|
||
|
|
||
|
"mikoa ya Akaya" Neno "sehemu" linazungumzia maeneo ya nchi , na siyo mgawanyo wa kisiasa.
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini? Kwa sababu siwapendi?
|
||
|
|
||
|
Paulo anatumia swalimla kujihoji kusisitiza upendo kwa Wakorintho.
|
||
|
|
||
|
# Mungu anafahamu
|
||
|
|
||
|
Kwa kuweka wazi sentensi hii: "Mungu anajua Ninawapenda"
|