forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
1.1 KiB
Markdown
36 lines
1.1 KiB
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Akiwa tayri amewaonya watu wa Korintho kuhusu viongozi wengine ambao walikuwa wakijitahidi kuwavuta Wakorintho wawafuate wao, lakini Paulo anawakumbusha watu jinsi anavyowafikiria.
|
|
|
|
# Fanyeni nafasi kwa ajili yetu
|
|
|
|
Inarejea kile ambacho Paulo alikisema awalikatika 6:11 kuhusu wao kufungua mioyo yao kwa yeye.
|
|
|
|
# Siyo kuwahukumu ninyi kuwa nasema hili
|
|
|
|
"sisema hili kuwashitaki ninyi kwa kufanya vibaya." Neno "hili" linarejea kwa kila ambacho Paulo alikuwa amesema kuhusu ambavyo hakumkosea mtu yeyote.
|
|
|
|
# mmo mioyoni mwetu
|
|
|
|
Paulo anazungumza kwa ajili yake na pendo kuu la washirika wake kwa ajili ya wakorintho kama vile wamefanyika ndani ya kioyo yao.
|
|
|
|
# kwetu sisi kufa pamoja na kuishi pamoja
|
|
|
|
Hii ina maanisha kwamba Paulo na washirika wake wataendelea kuwapenda Wakorintho bila kujali kinachotokea.
|
|
|
|
# kwetu sisi kufa
|
|
|
|
"sisi" inajumuisha waamini wa Korintho"
|
|
|
|
# Nimejawa na faraja
|
|
|
|
Yaweza kuelezwa katika jinsi ya utendaji: : "Mnanijaza faraja"
|
|
|
|
# Ninajawa na furaha
|
|
|
|
Pulo anazumzia furaha kama vile kimiminika ambacho humjaza yeye mpaka anajawa.
|
|
|
|
# hata katikati ya mateso yetu yote.
|
|
|
|
"licha ya taabu zetu"
|