forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1.2 KiB
Markdown
32 lines
1.2 KiB
Markdown
# tuko ndani ya hema hii
|
|
|
|
Paulo anazungumzia mwili unaoonekana kama vile ulikuwa "hema."
|
|
|
|
# ndani ya hema hii, twaugua tukilemewa
|
|
|
|
Neno " hema" linamaanisha makao ya duniani ambayo tunaishi ndani yake." Neno " ugua" ni sauti anayoitoa mtu wakati wanapohitaji kutamani kuwa na kitu ambacho ni kizuri.
|
|
|
|
# tukilemewa
|
|
|
|
Paulo anarejea kwenye changamoto ambazo mwili hupitia kama vile zilikuwa vitu ambavyo ni vizito kuvibeba.
|
|
|
|
# Hatutaki kuvuliwa badala yake, tunataka kuvalishwa
|
|
|
|
Paulo anazungumzia mwili kama vile ulikuwa umevikwa.Hapa "kuvuliwa" lina maanisha kifo ccha mwili; " kuvalishwa" lina maanisha kuwa na ufufuo wa mwili ambao Mungu atautoa.
|
|
|
|
# kuvuliwa
|
|
|
|
"kutokuwa na nguo" au "kuwa uchi"
|
|
|
|
# ili kwamba kile kilicho kufa kiweze kumezwa na uzima
|
|
|
|
Paulo anazungumzia maisha kama vile yalikuwa mnyama ambaye hula " ambaye hufa." Mwiliunaoonekana ambaomutakufa utahuishwa kwa njia ya ufufuo wa mwili ambao utaishi milele.
|
|
|
|
# ili kwamba kile kilicho kufa kiweze kumezwa na uzima
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa kwa jinsi hii: "ili kwamba uhai utaki meza kile ambacho ni cha kufa"
|
|
|
|
# ambaye alitupa sisi Roho kama ahadi ya kile kitakacho kuja.
|
|
|
|
Roho anayezungumzwa alikuwa kama malipo ya chini ya muda kuhusu uzima wa milele.
|