forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
606 B
Markdown
20 lines
606 B
Markdown
# Akalala pamoja na babu zake.
|
|
|
|
"Hii inamaanisha kwamba akafa" (Yehoshafati).
|
|
|
|
# Mji wa Daudi.
|
|
|
|
Huu ni mji wa Daudi.
|
|
|
|
# Azaria, Yerieli, Zekaria, Azaria, Mikaeli, na Shefatia.
|
|
|
|
Haya ni majina ya kiume; ni orodha ya majina ya watoto wa Yehoshafati mfalme wa Israeli.
|
|
|
|
# Yehofati, mfalme wa Israeli.
|
|
|
|
Ufalme wa Kusini ulikuwa uknaitwa "Yuda", Llakini mwandishi wa kitabu hiki alitaka kuweka msistizo kwamba ufalme wa kusini ulikuwa katika hali ya kumtii Mungu, Israeli ya kweli.
|
|
|
|
# Kiti cha enzi alimpa Yehoramu.
|
|
|
|
Yehoshafati aliamua kuwa Yohoramu awe mfalme baada yake (yaani akirithi kiti chake cha enzi).
|