sw_tn/1ti/06/15.md

368 B

Mungu atadhihirisha ujio wake

Hii inaweza kumaanisha kuwa Mungu atamdhihirisha Yesu

kwa wakati sahihi

kwa wakati unaofaa/muafaka

mbarikiwa

Anayestahili sifa. Hii inamaanisha Mungu Baba

Peke yake anaishi milele

Yeye pekee ana nguvu ya kuishi milele

akaaye katika mwanga usiokaribiwa

anakaa katika mwaka unaong'aa sana ambao hakuna awezaye kuukaribia