forked from WA-Catalog/sw_tn
368 B
368 B
Mungu atadhihirisha ujio wake
Hii inaweza kumaanisha kuwa Mungu atamdhihirisha Yesu
kwa wakati sahihi
kwa wakati unaofaa/muafaka
mbarikiwa
Anayestahili sifa. Hii inamaanisha Mungu Baba
Peke yake anaishi milele
Yeye pekee ana nguvu ya kuishi milele
akaaye katika mwanga usiokaribiwa
anakaa katika mwaka unaong'aa sana ambao hakuna awezaye kuukaribia