sw_tn/1ti/04/11.md

462 B

Uyaseme na kuyafundisha mambo haya

"Agiza na fundisha mambo haya" au "Agiza na ufundishe mambo haya ambayo nimeyataja hivi punde"

Mtu yeyote asiudharau ujana wako

"mtu asikuchukulie kwamba wewe si wa muhimu kwa sababu u kijana"

endelea kuyasoma

"soma Maandiko" au "endelea kulisoma Neno la Mungu kwa sauti na kwa uwazi mbele za watu"

endelea...kuyahimiza

"wahimize wengine" au "watie moyo wengine kulifanyia kazi Neno la Mungu katika maisha yao"