forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
462 B
Markdown
16 lines
462 B
Markdown
|
# Uyaseme na kuyafundisha mambo haya
|
||
|
|
||
|
"Agiza na fundisha mambo haya" au "Agiza na ufundishe mambo haya ambayo nimeyataja hivi punde"
|
||
|
|
||
|
# Mtu yeyote asiudharau ujana wako
|
||
|
|
||
|
"mtu asikuchukulie kwamba wewe si wa muhimu kwa sababu u kijana"
|
||
|
|
||
|
# endelea kuyasoma
|
||
|
|
||
|
"soma Maandiko" au "endelea kulisoma Neno la Mungu kwa sauti na kwa uwazi mbele za watu"
|
||
|
|
||
|
# endelea...kuyahimiza
|
||
|
|
||
|
"wahimize wengine" au "watie moyo wengine kulifanyia kazi Neno la Mungu katika maisha yao"
|