forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
547 B
Markdown
24 lines
547 B
Markdown
# ndugu
|
|
|
|
Hapa hii inamaanisha Wakristo wenzetu
|
|
|
|
# mlikuwa wafuasi wa makanisa
|
|
|
|
Wao wanauzoefu sawa wa uadui kutoka baadhi yaWathessalonike kama vile waamini wa kwanza wazoefu wa mateso kutoka kwa viongozi wa Wayahudi "Ikawa kama makanisa"
|
|
|
|
# kutoka kwa watu wa Taifa lenu wenyewe
|
|
|
|
"kutoka kwa Wathessalonike
|
|
|
|
# Nao walituzuia sisi tusiseme
|
|
|
|
"Wao walijaribu kutufanya kuacha kusema"
|
|
|
|
# daima walitimiza dhambi zao
|
|
|
|
"kuendelea kutenda dhambi"
|
|
|
|
# Ghadhabu imewawajia kwao
|
|
|
|
"Adhabu ya Mungu imewajia ndani yao" au"'hasira ya Mungu imewajia ndani yao'
|