sw_tn/1th/02/14.md

547 B

ndugu

Hapa hii inamaanisha Wakristo wenzetu

mlikuwa wafuasi wa makanisa

Wao wanauzoefu sawa wa uadui kutoka baadhi yaWathessalonike kama vile waamini wa kwanza wazoefu wa mateso kutoka kwa viongozi wa Wayahudi "Ikawa kama makanisa"

kutoka kwa watu wa Taifa lenu wenyewe

"kutoka kwa Wathessalonike

Nao walituzuia sisi tusiseme

"Wao walijaribu kutufanya kuacha kusema"

daima walitimiza dhambi zao

"kuendelea kutenda dhambi"

Ghadhabu imewawajia kwao

"Adhabu ya Mungu imewajia ndani yao" au"'hasira ya Mungu imewajia ndani yao'