sw_tn/1ki/13/33.md

388 B

Jambo hiloi likawa dhambi kwenye familia ya Yeroboamu

"Familia ya Yeroboamu ikawa imefanya dhambi kwa kufanya jambo hili"

Jambo hili

Hii inamaanisha kitendo cha Yeroboamu kujenga madhabahu ya miungu na kuchagua makuhani.

na kusababishsa familia yake kuangamizwa na kuondolewa kabisa katika uso wa dunia

"Munugu aliiangamiza na kuiondoa familia ya Yeroboamu katika usowa dunia"