forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
388 B
Markdown
12 lines
388 B
Markdown
|
# Jambo hiloi likawa dhambi kwenye familia ya Yeroboamu
|
||
|
|
||
|
"Familia ya Yeroboamu ikawa imefanya dhambi kwa kufanya jambo hili"
|
||
|
|
||
|
# Jambo hili
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kitendo cha Yeroboamu kujenga madhabahu ya miungu na kuchagua makuhani.
|
||
|
|
||
|
# na kusababishsa familia yake kuangamizwa na kuondolewa kabisa katika uso wa dunia
|
||
|
|
||
|
"Munugu aliiangamiza na kuiondoa familia ya Yeroboamu katika usowa dunia"
|