forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
421 B
Markdown
12 lines
421 B
Markdown
# kidole changu kidogo ni kinene kuliko kiuno cha baba yangu
|
|
|
|
Maana yake ni kwamba Rehoboamu ni mkali na mwenye kuogofya kuliko baba yake.
|
|
|
|
# Baba yangu aliwaadhibu kwa mijeredi, lakini mimi nitawaadhibu kwa nge
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuwa adhabu ambayo Rehoboamu ataitoa ni mbaya kuliko alitoa baba yake.
|
|
|
|
# nitawaadhibu kwa nge
|
|
|
|
Neno "nge" linaweza kumaanisha 1)mjeredi wenye ncha za vyuma, au 2) kiumbe mwenye mkia wa sumu.
|