sw_tn/1ki/12/10.md

421 B

kidole changu kidogo ni kinene kuliko kiuno cha baba yangu

Maana yake ni kwamba Rehoboamu ni mkali na mwenye kuogofya kuliko baba yake.

Baba yangu aliwaadhibu kwa mijeredi, lakini mimi nitawaadhibu kwa nge

Hii inamaanisha kuwa adhabu ambayo Rehoboamu ataitoa ni mbaya kuliko alitoa baba yake.

nitawaadhibu kwa nge

Neno "nge" linaweza kumaanisha 1)mjeredi wenye ncha za vyuma, au 2) kiumbe mwenye mkia wa sumu.