sw_tn/1ki/07/15.md

340 B

Dhiraa kumi na nane

Dhiraa moja ni sentimita 46

mzingo wa mita 5.5

"mzingo" ni kipimo cha urefu wa kitu cha duara.

Akatengeneza taji mbili

Neno "taji" linamaanishapamba linalowekwa juu ya nguzo.

shaba

Shaba iling'aishwa ili kuaksi mwanga wa jua

Kulikuwa na nyavu za kuwa kama kaziy a kusuka

"Mikufu ya vyuma iliyosukwa"