forked from WA-Catalog/sw_tn
340 B
340 B
Dhiraa kumi na nane
Dhiraa moja ni sentimita 46
mzingo wa mita 5.5
"mzingo" ni kipimo cha urefu wa kitu cha duara.
Akatengeneza taji mbili
Neno "taji" linamaanishapamba linalowekwa juu ya nguzo.
shaba
Shaba iling'aishwa ili kuaksi mwanga wa jua
Kulikuwa na nyavu za kuwa kama kaziy a kusuka
"Mikufu ya vyuma iliyosukwa"