sw_tn/1ki/01/38.md

600 B

Taarifa kwa ujumla

Watu wa Israeli wanampaka mafuta Sulemani kuwa mfalme wa Israeli.

Wakerethi ... Wapelethi

majina ya makundi ya watu

Gihoni

jina la kisima, mahali ambapo maji baridi hutoka katikta ardhi

akachukua pembe lenye mafuta hemani

alichukua pemba maalumu la mnyama lililokuwa limejaa mafuta ya mizeituni ambayo makuhani walikuwa wameyatunza kwenye hema maalumu ya BWANA.

pembe ya mafuta

Hii inaweza kumaanisha 1) pembe ya mnyama iliyojaa mafuta ya mizeiituni au 2) choombo ambacho kilitumika badala ya pembe lakini watu bado waliendelea kuita pembe, "chombo cha mafuta"